KUSAJILIWA: Dream Big Microfinance (T) Limited ilisajiliwa mnamo tarehe 8th April, 2018 na msajili wa makampuni na kupata namba ya usajili 125317.
SHUGHULI ZAKE: Dream Big Microfinance (T) Limited inajishughulisha na utoaji wa mikopo kwa wajasiriamali wadogo Tanzania Bara kwa ajili ya kukuza mitaji ya kuendeleza biashara zao. Imepata kibali namba MSP2-0319 kutoka Benki Kuu ya Tanzania kwa ajili ya kuendesha biashara ya kutoa mikopo midogo ikifuata sheria ya Microfinance ya mwaka 2018 pamoja na kanuni zake za mwaka 2019.
MAHALI ILIPO: Ofisi za Dream Big Microfinance (T) Limited zipo katika jengo la Condo Investment, ghorofa ya kwanza, chumba namba 110, Kata ya Kaloleni, Manispaa ya Arusha.
Discover new jobs in Tanzania (Nafasi za kazi na ajira Mpya), top vacancies, and career opportunities. Visit Mabumbe.tz for employment updates and post job ads.