Email: mabumbe@gmail.com

School Matron and Child Care Giver

Job Expired

MAJUKUMU YA KAZI

 

Cheo: Matron na Mwalimu Msaidizi

Msimamizi wa Kazi: Mwalimu Mkuu wa Shule / School Administrator


  1. Kuhakikisha usalama wa watoto ndani na nje ya eneo la shule
  2. Kusaidia watoto usafi wanapokwenda msalani
  3. Kulisha watoto pamoja na usafi wa mahali pa chakula na kuondoa vyombo
  4. Usafi wa madarasa, vyoo, mahali pa kulala na vifaa vya kulalia.
  5. Kusaidiana na walimu wawapo darasani kuhudumia watoto
  6. Kumsindikiza dereva kupeleka na kurudisha watoto nyumbani.
  7. Uangalizi wa mali za kituo
    8. Kutunza taarifa za vifaa vya usafi na malazi
  8. Kushiriki ibada bila kukosa na kuhudumu unapopangiwa.
  9. Kuwepo eneo la kazi au kutoa taarifa wakati unataka  kutoka iwapo ni muda wa kazi.
  10. Kusaidia na kushauri upandaji wa mazao na ufugaji wa mifugo kwa ajili ya matumizi ya huduma na shule.
  11. Kusaidia shughuli za kituo kadiri utakavyoelekezwa na uongozi.

Sifa zinazotakiwa: Mhitimu wa cheti cha chuo cha malezi au ustawi wa jamii . Uzoefu wa Mwaka mmoja katika shughuli za ulezi na usaidizi wa kufundisha. Kujua kuzungumza kiingereza, awe na upendo na heshima na Kikubw akuliko yote awe Mcha Mungu.

Namna ya Kuomba: Tuma maombi kwa barua pepe ufalmeschools@gmail.com ambatanisha 1. barua ya maobi, 2. vyeti vya shule. Muombaji awe mwanamke tu.

Mwisho wa kutuma maombi 20/01/2025

Go to our Homepage To Get Relevant Information.

  • This job has expired!
Share this job

Contact Us